🇹🇿 Marehemu Mathias E. Mnyampala (1917–1969) alikuwa mwanasheria, mwandishi, na mshairi mashuhuri wa Tanzania aliyeandika kwa lugha ya Kiswahili. Mswada wa tawasifu yake uliandikwa kati ya mwaka 1968 na 1969, punde kabla ya kifo chake. Kazi hii, ambayo...
Lire la suite