Overblog
Suivre ce blog Administration + Créer mon blog

swahili books

book cover 🇹🇿 🇬🇧 Haji Gora Haji, born in 1933 on the island of Tumbatu, Zanzibar, represents a living archive of poetic and philosophical knowledge, which is transformed into verses with a characteristic voice enriched by dialectal features (from Tumbatu...

Lire la suite
Tag(s) : #Haji Gora Haji, #Swahili Books, #English Books, #Swahili - English Translations, #Aiello Flavia, #Irene Brunotti, #Nathalie Arnold Koenings, #Abdilatif Abdalla, #Sauda Ali Issa Barwani, #Ridder H. Samsom, #Zanzibar

🇹🇿 Mapenzi huponya. Mapenzi huangamiza. Kuwa makini. G aka Ganzi, kijana katili muuaji asiye na chembe ya huruma, anadondokea katika penzi zito la msichana mrembo aitwae Tausi. Miezi mitatu kabla, kijana huyo alikuwa hahitaji kuwa na rafiki wala mpenzi,...

Lire la suite
Tag(s) : #Swahili Books, #Suleiman A. Kijogoo

🇹🇿 SAFARI YANGU ni riwaya ya Kiswahili inayoyateka na kuyaakisi maisha ya vijana wengi wanaotamani kufanikiwa maishani kwa njia ya mkato. Mwandishi amejaribu kutumia ufundi wa lugha kwa kuimulika jamii yake na kuyaibua mambo yanayowasibu vijana wengi...

Lire la suite
Tag(s) : #Swahili Books, #Ali Hilal Ali, #Zanzibar

🇹🇿 Kitabu cha Falsafa za Enock Maregesi: Nukuu za Nyakati Zetu ni mkusanyiko wa nukuu za Enock Maregesi, kila nukuu kuu na maana yake, kila siku na nukuu yake kwa mwaka mzima. Ni mkusanyiko wa nukuu kuu 365 zenye kuleta hamasa na msukumo wa mafanikio...

Lire la suite
Tag(s) : #Swahili Books, #Enock Maregesi
1 2 > >>