Top articles
-
Mansura
🇬🇧 The work entitled Mansura, authored by Issak Esmail Issak, presents itself as a vast literary and memorial epic spanning over five hundred pages. It invites the reader to delve into the heart of the narratives, myths, and legends of the Wakae—the inhabitants...
-
Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe
🇹🇿 Kwa lugha nyepesi ya Kiswahili fasaha, Kiunguja, Ibrahim Mohammed Hussein, anasimuliya kwa uwazi na ujasiri mkubwa, yale yaliyomsibu baada ya kuuwawa Rais wa Kwanza wa iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi,...
-
Mathias E. Mnyampala, 1917-1969, et la construction nationale tanzanienne.
Mathias E. Mnyampala (1917–1969) et la construction nationale tanzanienne (Volumes 1 & 2) About this Research This publication brings together the two volumes of a doctoral dissertation in African Studies, specializing in Swahili language and literature....
-
Chozi langu litafutwa lini ?
🇹🇿 Wasifu : Jane D. Mwanizuwa Sabini (Jane Davis).Ni mwandishi chipukizi wa simulizi riwaya na tungo za kishairi. Alizaliwa tarehe 20 Januari mnamo mwaka 1995 huko wilaya ya Uyui mkoani Tabora. Alipata elimu ya msingi Igoko shule ya msingi na elimu ya...
-
A Meadow of Poppies -- Hadiqa ya Khashkhashi
🇬🇧🇹🇿 Step back in time to the Zanzibar of the 1950s with this heartfelt collection of poems and stories by Issak Ismail Issak. A sequel to his beloved "My Grandpa's Garden," this volume continues to explore the cherished memories of a childhood spent...
-
Maisha ni kugharimia (2013) : Mathias E. Mnyampala's autobiography, first published posthumously in 2013 from a 1968–1969 manuscript.
About the Author and the Work Mathias E. Mnyampala (1917–1969) was a renowned Tanzanian lawyer, writer, and poet who composed his works in Kiswahili. The original manuscript of his autobiography was written between 1968 and 1969, shortly before his passing....
-
Ugogo na Ardhi yake (2014) : First published posthumously in 2014 from a 1961 manuscript.
About the Work Ugogo na ardhi yake (“The Gogo and its Land”) is the first geography book written in Kiswahili about the Ugogo region in Tanzania (formerly the Tanganyika territory). This 1961 manuscript provides precious details through numeric tables...
-
Maisha yangu, Khamis Abdulla Ameir
🇹🇿 “MAISHA YANGU: KHAINI AU MUHANGA WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR?” ni kitabu kinachoeleza historia ya Zanzibar ya hivi karibuni na vipi Muungano baina ya Zanzibar na Tanganyika ulivyoanzishwa hadi kuwepo taifa jipya la TANZANIA. Khamis Abdulla Ameir amejaribu...
-
The Khumbars of Zanzibar
🇬🇧 Crying, Laughing, Dancing Pots highlights a smooth historical undertaking of Zanzibarisation, par excellence. It offers a comprehensive exploration of the Kumbhar community, a group that migrated from Kutch, India, to Zanzibar, approximately 300 years...
-
Archives sonores et linguistiques du kiamu sur Zenodo / Linguistic and Audio Archives of Kiamu on Zenodo
DL2A a le plaisir d'annoncer la mise à disposition publique d'un corpus de recherche inédit sur la plateforme scientifique Zenodo. Cette collection centralise les données primaires et les analyses linguistiques issues des travaux de terrain menés en 2005...
-
Usawiri wa Ualbino katika Fasihi ya Kiswahili
🇹🇿 Kitabu cha Usawiri wa ualbino katika fasihi ya Kiswahili kinachunguza changamoto zinazowakabili watu wenye ualbino nchini Tanzania, ambapo wanakabiliwa na athari za mionzi ya jua na matatizo ya kuona. Utafiti unaonesha umuhimu wa elimu katika kubadilisha...
-
Un diamant d’Afrique. Vie du Cheikh Kaluta Amri Abedi (1924-1964)
🇫🇷 Le Cheikh Kaluta Amri Abedi (1924-1964) fut un chef religieux de la communauté islamique Ahmadiyya, un grand poète d’expression swahilie et un homme d’État du Tanganyika (actuelle Tanzanie). Cette biographie est l’œuvre de son fils, le Cheikh Bakri...
-
Mambo 15 Tunayokosea Wakati wa Kuomba
🇹🇿 “Mambo 15 Tunayokosea Wakati wa Kuomba”, ni kitabu kinachoeleza makosa ambayo tumekuwa tukiyafanya wakati wa kuomba yanayosababisha maombi yetu yasijibiwe na Mungu Baba. Pia, kinaeleza utofauti uliopo kati ya sala na maombi; na kina shuhuda za kweli...
-
My Grandpa's Garden, Zanzibar Poems
🇬🇧 My Grandpa's Garden, Zanzibar Poems A presentation of a collection of poems, coupled with artistic photographs, produced by a brilliant Zanzibar-born artist, photographer, author and theatrical producer, Issak Esmail Issak. What started as individual...
-
Shuwari
🇹🇿 🇬🇧 Haji Gora Haji, born in 1933 on the island of Tumbatu, Zanzibar, represents a living archive of poetic and philosophical knowledge, which is transformed into verses with a characteristic voice enriched by dialectal features (from Tumbatu and Unguja)....
-
Mimi, Umma Party na Mapinduzi ya Zanzibar
🇹🇿 Hashil Seif Hashil alizaliwa kwenye ngarawa katika maji ya bahari ya Pemba Januari 12, 1938. Alisoma skuli ya msingi ya Mkwajuni na baadaye katika iliyokuwa Seyyid Khalifa Secondary Technical School, Beit-el-Ras, Unguja. Alikuwa ni mmoja wa vijana...
-
Kununuliwa kwa Damu ya Yesu
🇹🇿 KUHUSU KITABU Katika kurasa za kitabu hiki, tutajifunza kuhusu maana ya fidia ya dhambi, umuhimu wa Damu ya Yesu, na jinsi tunavyoweza kuishi kulingana na thamani ya ukombozi alioutupa. Pia, tutachunguza jinsi Damu ya Yesu inavyotuletea ushindi, uhuru,...
-
Safari yangu
🇹🇿 SAFARI YANGU ni riwaya ya Kiswahili inayoyateka na kuyaakisi maisha ya vijana wengi wanaotamani kufanikiwa maishani kwa njia ya mkato. Mwandishi amejaribu kutumia ufundi wa lugha kwa kuimulika jamii yake na kuyaibua mambo yanayowasibu vijana wengi...
-
Common mistakes in Kiswahili
🇹🇿 🇬🇧 Common Mistakes in Swahili is a grammar book specifically for second language users. It gives you the a, b, c, d's of Swahili language. It goes further by explaining grammatical stuffs that are important in learning Swahili language. It gives common...
-
Maisha ni kugharimia (2014): The second edition of Mathias E. Mnyampala's autobiography, released for school use. It was first published posthumously in 2013, based on a manuscript from 1968–1969.
🇹🇿 Marehemu Mathias E. Mnyampala (1917–1969) alikuwa mwanasheria, mwandishi, na mshairi mashuhuri wa Tanzania aliyeandika kwa lugha ya Kiswahili. Mswada wa tawasifu yake uliandikwa kati ya mwaka 1968 na 1969, punde kabla ya kifo chake. Kazi hii, ambayo...
-
Nukuu za Nyakati Zetu
🇹🇿 Kitabu cha Falsafa za Enock Maregesi: Nukuu za Nyakati Zetu ni mkusanyiko wa nukuu za Enock Maregesi, kila nukuu kuu na maana yake, kila siku na nukuu yake kwa mwaka mzima. Ni mkusanyiko wa nukuu kuu 365 zenye kuleta hamasa na msukumo wa mafanikio...
-
Uandishi katika Kiswahili
🇹🇿 Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za...
-
Kiswahili kwa wageni. Kiongozi cha mwalimu
🇹🇿 Kitabu hiki cha kiongozi cha mwalimu, kimekusudia kuwa mwongozo kwa ajili ya kuwafundisha wageni. Kitabu kinamwelekeza mwalimu namna ya kumfundisha mwanafunzi wa kiwango cha kwanza, cha pili, na cha tatu. Katika kila hatua ya kumfundisha mwanafunzi...
-
A Zanzibar architect’s unsung legacy
🇬🇧 A Zanzibar architect’s unsung legacy The story of Ajit Singh Hoogan Architect, Artist, Philanthropist, followed by Sportsman and MP, The story of Parmukh Singh Hoogan Ajit Singh, a Zanzibar architect who also was a painter, a man of the arts, whose...
-
Bikira Maria Mama wa Yesu Kristo
🇹🇿 Bikira Maria Mama wa Yesu Kristo ni kitabu kinachohusu historia ya Mama Bikira Maria ikianza na maandalizi ya kuzaliwa kwake; maisha yake baada ya kuzaliwa; kuchaguliwa kwake na Mungu Baba kuwa Mama wa Mkombozi kupitia ujumbe wa malaika Gabrieli; jinsi...