Top articles
-
Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe
🇹🇿 Kwa lugha nyepesi ya Kiswahili fasaha, Kiunguja, Ibrahim Mohammed Hussein, anasimuliya kwa uwazi na ujasiri mkubwa, yale yaliyomsibu baada ya kuuwawa Rais wa Kwanza wa iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi,...
-
Mathias E. Mnyampala, 1917-1969, et la construction nationale tanzanienne.
🇫🇷 🇹🇿 Vol. 1: Définitions de la poésie d'expression swahilie This volume corresponds to the section on metric analysis of classical Swahili poetry. A formal analysis tool is defined based on available data, aiming to address the extraordinary heterogeneity...
-
Chozi langu litafutwa lini ?
🇹🇿 Wasifu : Jane D. Mwanizuwa Sabini (Jane Davis).Ni mwandishi chipukizi wa simulizi riwaya na tungo za kishairi. Alizaliwa tarehe 20 Januari mnamo mwaka 1995 huko wilaya ya Uyui mkoani Tabora. Alipata elimu ya msingi Igoko shule ya msingi na elimu ya...
-
A Meadow of Poppies -- Hadiqa ya Khashkhashi
🇬🇧🇹🇿 Step back in time to the Zanzibar of the 1950s with this heartfelt collection of poems and stories by Issak Ismail Issak. A sequel to his beloved "My Grandpa's Garden," this volume continues to explore the cherished memories of a childhood spent...
-
Maisha yangu, Khamis Abdulla Ameir
🇹🇿 “MAISHA YANGU: KHAINI AU MUHANGA WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR?” ni kitabu kinachoeleza historia ya Zanzibar ya hivi karibuni na vipi Muungano baina ya Zanzibar na Tanganyika ulivyoanzishwa hadi kuwepo taifa jipya la TANZANIA. Khamis Abdulla Ameir amejaribu...
-
The Khumbars of Zanzibar
🇬🇧 Crying, Laughing, Dancing Pots highlights a smooth historical undertaking of Zanzibarisation, par excellence. It offers a comprehensive exploration of the Kumbhar community, a group that migrated from Kutch, India, to Zanzibar, approximately 300 years...
-
Usawiri wa Ualbino katika Fasihi ya Kiswahili
🇹🇿 Kitabu cha Usawiri wa ualbino katika fasihi ya Kiswahili kinachunguza changamoto zinazowakabili watu wenye ualbino nchini Tanzania, ambapo wanakabiliwa na athari za mionzi ya jua na matatizo ya kuona. Utafiti unaonesha umuhimu wa elimu katika kubadilisha...
-
Mambo 15 Tunayokosea Wakati wa Kuomba
🇹🇿 “Mambo 15 Tunayokosea Wakati wa Kuomba”, ni kitabu kinachoeleza makosa ambayo tumekuwa tukiyafanya wakati wa kuomba yanayosababisha maombi yetu yasijibiwe na Mungu Baba. Pia, kinaeleza utofauti uliopo kati ya sala na maombi; na kina shuhuda za kweli...
-
Un diamant d’Afrique. Vie du Cheikh Kaluta Amri Abedi (1924-1964)
🇫🇷 Le Cheikh Kaluta Amri Abedi (1924-1964) fut un chef religieux de la communauté islamique Ahmadiyya, un grand poète d’expression swahilie et un homme d’État du Tanganyika (actuelle Tanzanie). Cette biographie est l’œuvre de son fils, le Cheikh Bakri...
-
My Grandpa's Garden, Zanzibar Poems
🇬🇧 My Grandpa's Garden, Zanzibar Poems A presentation of a collection of poems, coupled with artistic photographs, produced by a brilliant Zanzibar-born artist, photographer, author and theatrical producer, Issak Esmail Issak. What started as individual...
-
Maisha ni kugharimia (2013) - 1st Edition
🇹🇿 Mswada huu ambapo marehemu Mathias E. Mnyampala anatusimulia habari za maisha yake binafsi ulibaki muda mrefu sana uliozidi miaka arobaini bila kupigwa chapa. Uligunduliwa mwaka 2007 mjini Dodoma na Dkt. Mathieu Roy kwa kushirikiana na TUKI (TATAKI...
-
Shuwari
🇹🇿 🇬🇧 Haji Gora Haji, born in 1933 on the island of Tumbatu, Zanzibar, represents a living archive of poetic and philosophical knowledge, which is transformed into verses with a characteristic voice enriched by dialectal features (from Tumbatu and Unguja)....
-
Mimi, Umma Party na Mapinduzi ya Zanzibar
🇹🇿 Hashil Seif Hashil alizaliwa kwenye ngarawa katika maji ya bahari ya Pemba Januari 12, 1938. Alisoma skuli ya msingi ya Mkwajuni na baadaye katika iliyokuwa Seyyid Khalifa Secondary Technical School, Beit-el-Ras, Unguja. Alikuwa ni mmoja wa vijana...
-
Ugogo na Ardhi yake
🇹🇿 Achevé en 1961, Ugogo na ardhi yake "l'Ugogo et sa terre" est le premier traité complet de géographie rédigé en kiswahili au sujet de la région de l'Ugogo au centre de la Tanzanie continentale. Le livre est aussi pionnier dans le domaine de l'écologie...
-
Kununuliwa kwa Damu ya Yesu
🇹🇿 KUHUSU KITABU Katika kurasa za kitabu hiki, tutajifunza kuhusu maana ya fidia ya dhambi, umuhimu wa Damu ya Yesu, na jinsi tunavyoweza kuishi kulingana na thamani ya ukombozi alioutupa. Pia, tutachunguza jinsi Damu ya Yesu inavyotuletea ushindi, uhuru,...
-
Safari yangu
🇹🇿 SAFARI YANGU ni riwaya ya Kiswahili inayoyateka na kuyaakisi maisha ya vijana wengi wanaotamani kufanikiwa maishani kwa njia ya mkato. Mwandishi amejaribu kutumia ufundi wa lugha kwa kuimulika jamii yake na kuyaibua mambo yanayowasibu vijana wengi...
-
Maisha ni kugharimia
🇹🇿 Autobiographie en kiswahili d’un magistrat et poète tanzanien Le texte en kiswahili de ce livre correspond au manuscrit de l’autobiographie de Mathias E. Mnyampala (1917-1969). Il constitue un trésor du patrimoine littéraire tanzanien qui était demeuré...
-
Common mistakes in Kiswahili
🇹🇿 🇬🇧 Common Mistakes in Swahili is a grammar book specifically for second language users. It gives you the a, b, c, d's of Swahili language. It goes further by explaining grammatical stuffs that are important in learning Swahili language. It gives common...
-
Nukuu za Nyakati Zetu
🇹🇿 Kitabu cha Falsafa za Enock Maregesi: Nukuu za Nyakati Zetu ni mkusanyiko wa nukuu za Enock Maregesi, kila nukuu kuu na maana yake, kila siku na nukuu yake kwa mwaka mzima. Ni mkusanyiko wa nukuu kuu 365 zenye kuleta hamasa na msukumo wa mafanikio...
-
Uandishi katika Kiswahili
🇹🇿 Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za...
-
Kiswahili kwa wageni. Kiongozi cha mwalimu
🇹🇿 Kitabu hiki cha kiongozi cha mwalimu, kimekusudia kuwa mwongozo kwa ajili ya kuwafundisha wageni. Kitabu kinamwelekeza mwalimu namna ya kumfundisha mwanafunzi wa kiwango cha kwanza, cha pili, na cha tatu. Katika kila hatua ya kumfundisha mwanafunzi...
-
A Zanzibar architect’s unsung legacy
🇬🇧 A Zanzibar architect’s unsung legacy The story of Ajit Singh Hoogan Architect, Artist, Philanthropist, followed by Sportsman and MP, The story of Parmukh Singh Hoogan Ajit Singh, a Zanzibar architect who also was a painter, a man of the arts, whose...
-
Bikira Maria Mama wa Yesu Kristo
🇹🇿 Bikira Maria Mama wa Yesu Kristo ni kitabu kinachohusu historia ya Mama Bikira Maria ikianza na maandalizi ya kuzaliwa kwake; maisha yake baada ya kuzaliwa; kuchaguliwa kwake na Mungu Baba kuwa Mama wa Mkombozi kupitia ujumbe wa malaika Gabrieli; jinsi...
-
Mtu wa kazi
🇹🇿 Mapenzi huponya. Mapenzi huangamiza. Kuwa makini. G aka Ganzi, kijana katili muuaji asiye na chembe ya huruma, anadondokea katika penzi zito la msichana mrembo aitwae Tausi. Miezi mitatu kabla, kijana huyo alikuwa hahitaji kuwa na rafiki wala mpenzi,...
-
CyberSecurity in Tanzania
🇬🇧 This cyber Law book determines the position of cyber security, prevention and detection in Tanzania against cyber crimes. Actually, by looking at the Cyber Crime Act No.14 of 2015 on how the concepts above have been provided and implemented. Cet essai...